Habari
TANZIA
- 30 Mar, 2022

Mwenyekiti, Wajumbe na Menejimenti ya Baraza imepokea kwa masikitiko makubwa taarifa ya kifo cha Mjumbe wa Baraza, Prof. Honest P. Ngowi kilichotokea kwa ajali ya gari tarehe 28, Machi,2022
Mwenyekiti, Wajumbe na Menejimenti ya Baraza imepokea kwa masikitiko makubwa taarifa ya kifo cha Mjumbe wa Baraza, Prof. Honest P. Ngowi kilichotokea kwa ajali ya gari tarehe 28, Machi,2022